• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RAS SAMIKE AWASILI LINDI HUKU AKIWAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UHURU FM SENSA MARATHON

Posted on: August 10th, 2022

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi kwa kushirikiana na Redio Uhuru fm wameandaa mbio za hiari ambazo zinafahamika kama uhuru sensa marathon ambazo zinatarajiwa kufanyika tarehe 13 mwezi huu katika viwanja vya majengo vilivyopo katika Halmashauri ya Mtama, Mkoani Lindi.

Akizungumza na waandishi wa habari jana jumatatu kuhusu mbio hizo Katibu Tawala mpya wa Mkoa wa Lindi Ndugu Ngusa Samike amesema kuwa mbio hizo zinalenga kuhamasisha wananchi pamoja na kuunga mkono  zoezi la sensa ya watu na makazi linalotarajiwa kufanyika agosti 23 mwaka huu.

Mheshimiwa Ngusa amewakaribisha wananchi na wadau mbalimbali katika kushiriki mbio hizo huku akisisitiza kuwa kushiriki mbio hizo itakuwa ni chachu kwa wananchi katika kushiriki zoezi la sensa hapo baadae.

Naye mratibu wa mbio hizo Dkt. Bora Haule amesema kuwa mpaka sasa hamasa ni kubwa na tayari baadhi ya washiriki wameanza kujiandikisha na pia amewataka wananchi wa Lindi kujitokeza kuhesabiwa katika siku ya sensa.

Mbio hizo zinatarijwa kushirikisha wakimbiaji wa kilomita tano na kilomita kumi, huku zawadi kadhaa zikitolewa, kwa upande wa washindi wa kwanza upande wa wanawake na wanaume wao watajinyakulia zawadi ya shilingi 500,000 huku washindi wa pili kwa jinsia zote watapewa shilingi 300,000 na washindi wa tatu nao watapewa zawadi ya shilingi 200,000 kila mmoja.

Aidha mbio hizo zitawahusisha pia washiriki wenye ulemavu huku baadhi yao wakiwa tayari wameanza kujiandikisha kushiriki mbio hizo.

Akiongezea kuhusu ushiriki wa mbio hizo Kaimu Naibu Mkurugenzi wa Uhuru fm Bi. Amina Azizi alisema kuwa kujiandikisha kushiriki mbio hizo ni bure na amewaomba wananchi wa Lindi wajitokeze kwa wingi kushiriki mbio hizo na kuhamasisha zoezi la sensa.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.