• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RMO LINDI AWATAKA WATUMISHI AJIRA MPYA KADA YA AFYA KUZINGATIA MIIKO NA MAADILI YA KAZI

Posted on: January 15th, 2025

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Lindi Dkt.Herry Kagya amewataka waajiriwa wapya wa kada ya Afya Katika Hospitali ya Sokoine Manispaa ya Mkoa wa Lindi kuzingatia miiko na maadili ya kazi ili kwenda kutoa huduma iliyo bora kwa wananchi.


Ameyasema hayo wakati akitoa mafunzo maalumu kwa waajiriwa wapya wa kada hiyo yalioandaliwa na chuo Cha Afya Cha Lichas yaliyofanyika 15 januari 2025 Katika ukumbi maalumu uliopo Katika hospitali ya Sokoine Mkoani Lindi .


“Tunapotekeleza majukumu yetu, tunayo miiko, nimeambiwa hapa na nimefurahi kwamba siku ya mwisho mtaapa hapa kiapo cha utumishi cha jumla, lakini kwa kada zenu pia mnavyo viapo vyenu, madaktari wataapa, si ndiyo nawauguzi wataapa, twendeni tukaviheshimu, tukaviishi viapo hivi “Dkt Kagya.


Aidha Dkt Herry amesema mafunzo hayo yamejumuisha waajriiwa wapya 150, kati ya hao 132 watatumika kutoa huduma hospitali ya Mkoa Sokoine na 18 wameajiri kwa ajili ya chuo Cha Afya Lichas kilichopo jirani na hospitali hiyo.


Amewasistiza juu ya kuwasilisha changamoto zao watakazokumbana nazo wakati wa kutekeleza majukumu yao kwa viongozi ambao wanahusika Katika vitengo vyao endapo kutakuwa na ulazima wa kufika kwao.


Ametumia fursa hiyo kumshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa ajira hizo hususani kada ya afya .


Kwa upande wake afisa muuguzi wa ajira mpya hospitali ya sokoine ,Asteria David ,ameshukuru serikali ya awamu ya 6 kwa kuwapatia ajira kwa wingi Katika fani ya Afya ambao watakwenda kuwatumikia wananchi .


‘’Naishukuru sana serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya awamu ya sita kwa kutupatia nafasi nyingi sana za ajira kwa sekta ya afya ambazo haijawahi kutokea, tunamshukuru sana na kumpongeza mama samia silihu Hassan kupitia katibu mkuu wizara ya afya na utumishi wa umma’’amesema asteria


Kadhalika Asteria ameshukuru uongozi wa hospitali ya sokoine kwa mapokezi mazuri kwani imewaongezea ufanisi wa kwenda kutumikia fani Yao ili kuwa watumishi bora watakao jali na kutimiza majukumu Yao

Kupitia mafunzo hayo Asteria amesema yamewaongezea uwezo wa kutambua haki na wajibu kama mtumishi wa umma na kuahidi kutoa huduma bora kwa kuwatumikia wananchi wa mkoa wa lindi Katika hospitali ya sokoine

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.