• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

SERIKALI KUTOA PEMBEJEO BURE KWA WAKULIMA WA KOROSHO

Posted on: May 14th, 2022


Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais. Mhe. Samia Suluhu Hassan imetoa pembejeo za uzalishaji wa zao la korosho kwa wakulima wa zao hilo. Pembejeo hizo zinatolewa kwa wakulima kuanzia tarehe 16 Mei 2022.

Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Bodi ya Korosho Ndg. Kelvin Mwaisomi akizungumza kwenye kikao cha tathmini ya ununuzi wa korosho msimu wa 2021 na maandalizi ya msimu wa ununuzi wa ufuta 2022 kilichofanyika alhamisi ya tarehe 12 Mei 2022 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi, amesema kuwa ugawaji wa pembejeo utazingatia eneo mkulima anapolimia, ukubwa wa shamba, idadi ya mikorosho pamoja na uzalishaji wa mkulima husika.

Aidha, pembejeo zitatolewa kwa wakulima kupitia kamati za pembejeo zilizoundwa kuanza ngazi ya taifa mpaka kijiji. Wakulima wote watatambulika wao na mahitaji yao kupitia mikutano ya kijiji ambayo itatoa maamuzi ya usambazaji wa pembejeo kwa wakulima wa kijiji husika.

Akimwakilisha Mkuu wa Mkoa kwenye kikao hicho, mwenyekiti wa kikao Mhe. Hashim Komba, Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea amewataka voingozi na watendaji kuhakikisha kamati zote zilizoelekezwa na muongozo zinaundwa kwa ngazi zote. Pia amezitaka kamati za vijiji zilizoundwa zihakikishe pembejeo hizo zinatolewa kwa walengwa kwa kutumia kanuni itakayomnufaisha kila mkulima.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa msimu wa korosho wa mwaka 2022/2023 imelenga kusambaza viwatilifu kwa wakulima bure ambapo jumla ya tani 25,000 za sulpher, viwatilifu vya maji jumla ya lita milioni 1.5 watapatiwa wakulima.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.