• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

SERIKALI YA MAMA SAMIA YAMWAGA MABILIONI YA FEDHA MKOANI LINDI

Posted on: October 27th, 2021

 Mkoa wa Lindi umepokea fedha za miradi za maendeleo ya elimu na afya kutoka Serikali ya awamu ya sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan.  Jumla ya Tsh. 12,946,259,969.24/= zimepokelewa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya sekta ya Elimu na Afya Mkoani Lindi. Kati ya fedha hizo jumla ya Tsh. 8,100,000,000 zitatumika kwa ujenzi wa miundombinu ya elimu na Tsh. 4,846,259,969.24/= kwa ajili ya maendeleo ya sekta ya afya.

Fedha hizo zimetolewa na serikali ikiwa ni mgawo wa nchi nzima kutoka kwenye jumla ya shilingi trilioni 1.3 zilizotolewa na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwa ajili ya kufufua uchumi kwa sekta zilizopata athari za kiuchumi kutokana na madhara ya UVIKO-19 Tanzania.

Akizungumza na kamati za mkoa na wilaya zilizoundwa kutekeleza miradi hiyo katika kikao kazi kilichofanyika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa jumatano ya tarehe 27 Oktoba 2021, Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack amesema fedha za miradi ya elimu ndiyo ambazo ziko tayari kwa utekelezaji.

Aidha, Mhe. Mkuu wa Mkoa ameongeza kuwa fedha hizi kwa upande wa elimu zitatatua changamoto zote za uchache wa madarasa kwani bajeti iliyopangwa ni kujenga darasa pamoja na madawati yake. Katika kufikia malengo kwa pamoja amesisitiza jamii ishiriki katika kuzalisha mahitaji ya miradi hiyo ikiwemo tofali huku akizionywa halmashauri kuhakikisha fedha hizo zinatimiza malengo yaliyokusudiwa.

“Watu wetu tutanunua mchanga, tutanunua kokoto na hivi vitu vingine ambavyo vinapatikana na wale ambao wanatengeneza tofali nzuri tutanunua.” Amesema.

Fedha za UVIKO-19 kama ambavyo zinatambulika zimepelekwa katika halmashauri zote za Mkoa wa Lindi ili kuondoa adha ya wananchi kupitia sekta ya elimu na afya. Mpango wa utekelezaji wa miradi hiyo umepangwa kukamilika kufikia mwezi Desemba 2021.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.