• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

SHIRIKA LA HEART TO HEART LATOA TABASAMU KWA WANAFUNZI NA WANANCHI WA KITONGOJI CHA NAMDEDA, HALMASHAURI YA MTAMA.

Posted on: September 27th, 2024

Wananchi na wanafunzi wa kitongoji cha Namdeda,Kijiji cha Mtua longa, kata ya Longa, Halmashauri ya Mtama wamenufaika na mradi wa maji safi na salama baada ya shirika la Heart to Heart kwa kushirikiana na shirika la Smart HB kuwajengea kisima cha maji kilichogharimu kiasi cha shilingi Milion 20.


Katika hafla ya kukabidhi mradi huo unaotekelezwa katika katika Shule ya Msingi Namdeda na kuwekewa jiwe la msingi na Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Victoria Mwanziva, wananchi wameishukuru Halmashauri ya Mtama kwa kushirikiana na shirika hilo kwa kuwajengea kisima hicho ambacho  kinaenda kuwa  mkombozi wa kutatua changamoto ya maji iliyokuwa inawakabili hususan msimu wa kiangazi ambapo iliwalazimu kutembea umbali wa  takribani Km 10 hali iliyosababisha kuzorota kwa shughuli nyingine za kimaendeleo ikiwemo elimu huku shule ikiendesha shughuli zao kwa hali ngumu ikiwemo ujenzi wa madarasa.


Akieleza kuhusu mradi huo Meneja wa mradi kutoka Shirika la Heart to Heart Ndugu. Deodatus Banzi ameeleza kuwa shirika limejikita zaidi katika kutatua changamoto za sekta ya afya na usafi wa mazingira ambapo katika kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha ubora wa huduma za afya, usafi wa mazingira na huduma za kijamii, shirika limefanikiwa kujenga visima 34 katika maeneo mbalimbali ya Mtama huku ikiazimia kujenga visima vingine 14 kwa miaka mitatu ijayo na kufanikiwa kuzifikia kata 20 ambazo wamezihamasisha na kuwachangia vifaa vitakavyowawezesha kujenga na kutumia vyoo bora


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Mhe Victoria  Mwanziva amewahimiza wananchi kutunza mradi huo ili huduma hiyo ya maji safi na salama uweze kuwanufaisha kwa muda mrefu. Aidha, Mhe. Mwanziva amewahimiza wananchi wa kitongoji cha Namdeda kujitokeza kwa wingi katika zoezi la uandikishaji wa daftafi la wapigakura wa serikali za mitaa linalotarajia kuanza ifikapo Oktoba 11-20 2024 na kujitokeza kwa wingi katika zoezi la uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa ifikapo Novemba 27, 2024.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.