• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

SHULE TATU KUTOKA LINDI KUSHIRIKI MAONESHO YA YST JIJINI DAR ES SALAAM

Posted on: August 29th, 2024

TAASISI ya Young Scientists (YST) imewatangaza wanafunzi wa Shule za Sekondari Tatu kuwa washindi wa Maonesho ya wanasayansi chipukizi ngazi ya Mkoa wa Lindi.


YST imesema wanafunzi hao wameibuka washindi baada ya kubuni miradi mbalimbali ambayo imekuwa ya kipekee na kuonekana na tija katika jamii.

Washindi wa kwanza katika Maonesho hayo ni wanafunzi kutoka Shule ya Sekondari Kibutuka ambayo ipo Wilaya ya Liwale ambao ni Afidhi Maulidi Kilete na Oktoba Chande Makanwa.

Wanafunzi hao wameibuka washindi baada ya kubuni mradi wa dawa ya asili ya Meno na kinga yake. (Natural Toothpaste and its Treatment).

Nafasi ya pili imeshikwa na Yasari Yasini Ndutuli na Fakihi Ibrahimu Athumani kutoka shule ya Sekondari Nachingwea iliyopo Wilayani Nachingwea. Wao wameshika nafasi hiyo baada kuandaa mradi wa Dawa ya kupambana na wadudu na magonjwa katika mimea (Power of the Mixture of Wood Ash, Soap, Red Peppers and Sunflowers for Fighting Pests and Diseases in Plants) 

Na nafasi ya Tatu imeshikwa na Mariamu Rashid Mussa na Ernest Antony Matamilili kutoka Shule ya Sekondari Angaza iliyopo Manispaa ya Lindi.


Wanafunzi hao wa Angaza Sekondari wameandaa mradi wa kutumia maji taka yanayotokana na matumizi ya nyumbani kufanya umwagiliaji wa mazao mbalimbali (Use of Domestic Waste Water for Irrigation of Vegetables Crops).


Shule hizo tatau kutoka amKoa wa Lindi zimepata medali na kupata fursa ya kushiriki mashindano ya kitaifa Jijini Dare Es Salaam.


Akizungumza katika maonesho hayo yaliyofanyika katika ukumbui wa shule ya Sekondari WAMA iiliyopo Manispaa ya Lindi, Mkurugenzi wa YST Dk Gozberth Kamugisha amesema washindi hao wanapata Medali, fedha na fursa ya kushiriki Maonesho ya Kitaifa Jijijini Dar Es Salaam ambako wakishinda watashiriki maonesho ya kimataifa ya wanasayansi Chipukizi.


Wilaya zote kutoka Mkoa wa Lindi zimeshiriki mafunzo hayo na Shule sita zimepata zawadi ya Medali.


Dr Kheri Mwijage Kagya amewashukuru sana YST kwa kuuchagua Mkoa wa Lindi kushiriki Maonesho hayo ya wanasayansi Chipukizi, kwani inatoa hamasa kwa wanafunzi kuyapenda masomo ya sayansi na kuongeza ufaulu.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.