• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

TARURA YATAKIWA KUWASIMAMIA WAKANDARASI WANAOKABIDHIWA MIRADI YA BARABARA LINDI.

Posted on: January 12th, 2023

      

 Wakandarasi wanaotekeleza miradi  ya barabara katika mkoa wa Lindi wametakiwa kumaliza kazi kwa wakati na kwa matakwa ya ubora inayowekwa katika mikataba yao ya kazi wanayokabidhiwa.

Hayo yameelezwa katika kikao cha robo ya kwanza cha Bodi ya Barabara (Road Board) mkoa kwa mwaka 2022/2023  kilichofanyika tarehe 10 Januari, 2023 katika ukumbi wa mkutano, ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Lindi ambapo wadau na wajumbe wa walioshiriki kikao hicho wameitaka Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kutafuta wakandarasi wenye sifa na weledi wa kufanya kazi hizo.

Mhe. Hashim Komba, mkuu wa wilaya ya Nachingwea amesema “Naomba sana mnapotafuta wakandarasi tuwatafute wakandarasi wenye sifa na uwezo, muda mwingi tunajikuta tunautumia kwenye kuwatafuta na kuwafatilia wakandarasi kuliko kutafakari shughuli za maendeleo katika maeneo yetu, unakuta mkandarasi amekabidhiwa site haiingii kazini kwa wakati na hadi mradi utekelezeke ni kazi kubwa kwelikweli, vilevile tuangalie na vigezo vya kuwapa kazi wakandarasi hawa tusiwape kazi nyingi wakati uwezo wao ni mdogo tunajikuta tunakwamisha kazi hizi zaujenzi wa barabara zetu”

Mhandisi Filbert Mpalasinge, Meneja wa TARURA Mkoa wa Lindi amesema kuwa wamejipanga vya kutosha katika kuangalia uwezo wa wakandarasi wanaoingia nao mikataba ya kazi ili kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia ubora na kuikamilisha kwa wakati unaopangwa.

“Sisi kama TARURA tumejipanga vizuri kabisa kwa kuanzia na mchakato wa manunuzi ili kuhakikisha tunapata wakandarasi wanaofaa laiki pia kuwasimamia ipasavyo wale ambao wanakuwa wameshapata kazi kwa maana ya tunaoingia nao mkataba wa kutekeleza miradi mbalimbali ya barabara”

“Katika kipindi hiki cha masika tumejipanga vizuri kabisa kutembelea na kukagua barabara zote korofi na kwenye madaraja ili sehemu ambazo zitabainika kuwa korofi tuzipatie ufumbuzi mapema na kuwawezesha wananchi kuzitumia barabara hizo bila usumbufu wala changamoto yoyote katika majira haya ya mvua” ameongeza Mhandisi Mpalasinge.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.