• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

UCHUMI NA UZALISHAJI LINDI RS WAMUAGA STAAFU MAJIDI MYAO

Posted on: March 1st, 2025

#Picha za matukio mbalimbali za hafla ya kumuaga aliyekuwa katibu Tawala Msaidizi uchumi na uzalishaji Ndugu Majid Myao iliyofanyika katika ukumbi mkubwa wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi Februari 28, 2028 .

Akimkaribisha mgeni rasmi wa hafla hiyo , Katibu Tawala Msaidizi eneo la uchumi na uzalishaji Ndugu Mwinjuma Mkungu ametoa sifa za kiungwana za Ndugu Majid Myao mstaafu akiwa katika nafasi hiyo kabla ya kustaafu .

Mkungu, amesema kuwa ofisi ya katibu Tawala eneo la uchumi na uzalishaji imeandaa hafla hiyo kwa lengo la kuonesha uungwana ule ule ambao kiongozi mstaafu ameuonesha kwa watumishi wenzake na namna ambavyo alikuwa anatoa huduma kwa wananchi.

Katika kuonesha upendo huo , licha ya hafla ambayo wameandaa, wamekabidhi zawadi mbalimbali ikiwemo jiko la gesi.


Kwa upande wake katibu Tawala Msaidizi eneo la utawala Ndugu Nathalis Linuma kwaniaba ya katibu Tawala Mkoa wa Lindi amempongeza na kumkabidhi zawadi ya ofisi, ikiwa sehemu ya kutambua mchango wake katika utumishi wa umma .


Aidha, ametumia fursa hiyo kuwasihii watumishi wengine kujifunza weledi wa mstaafu mzee Majid Myao katika utumishi wa umma.


Akishukuru kwa hafla na zawadi hizo Ndugu Majid Myao amesema kilichofanyika ni upendo ambayo ametendewa hakutegemea mkusanyiko huo na zawadi ambazo amezipata .


Ametumia fursa hiyo kumshukuru Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainabu Telack Zuwena, katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. Zuwena Omary pamoja na watumishi kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa ushirikiano ambao ameuonesha kwa kipindi chote cha utumishi wa umma.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.