• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

UVAMIZI WA WANYAMAPORI KUPATIWA UVUMBUZI LIWALE.

Posted on: August 17th, 2022

Kero ya uvamizi wa wanyamapori katika maeneo ya makazi na shughuli mbalimbali za binadamu kama kilimo bado ni changamoto kwa wakazi wa tarafa ya Kibutuka iliyopo katika halmashauri ya wilaya ya Liwale mkoani Lindi.

Kero hiyo imetolewa kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi Mhe. Ngusa Dismas Samike, alipokuwa anafanya ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika halmashauri ya Liwale tarehe 17/08/2022.

Akizungumza kwa niaba ya wananchi Diwani wa kata ya Kibutuka Bwana. Faraja Said Nyihira amesema “Kero ya uvamizi wa wanyamapori hususani Tembo limekua tatizo sugu katika eneo hili, Tembo wamekuwa wakiingia katika mashamba na kufanya uharibifu wa mazao ya chakula na wakati mwingine wamekuwa wakivamia hadi maeneo ya makazi ya wananchi na kwenye mashule hali inayopelekea wanafunzi wetu kutokusoma kwa utulivu wakihofia kuvamiwa wakati wowote na tembo hao”

 Aidha, Katibu Tawala ametoa ufafanuzi kuwa tayari serikali ilishaunda timu ya uchunguzi wa madhara ya uvamizi wa wanyamapori katika maeneo ya shughuli za kibinadamu ambapo baada ya uchunguzi huo mikakati mbalimbali imewekwa ili kuzuia tatizo hilo.

“Kutakua na ujenzi wa kituokazi ili kuhakikisha uwepo wa wafanyakazi wa TAWA kwa wakati wote, na kituo hiko kitakua kinafanya kazi muda wote na kitakua cha kudumu ili wafanyakazi hao basi watusaidie katika udhibiti uvamizi wa wanyamapori hawa, lakini pia tutaongeza na idadi ya wafanyakazi wa TAWA hasa katika maeneo ambayo uvamizi wake ni mkubwa na hii itaenda sambamba  na kudhibiti uvamizi wa mifugo inayoletwa na wenzetu wafugaji hivyo uongozi wa wilaya muafikiane ni njia gani mbadala tunaweza kuitumia katika kutatua changamoto hii” Mhe. Ngusa Samike.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.