• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

UZINDUZI WA MAONYESHO YA NANENANE KANDA YA KUSINI

Posted on: August 3rd, 2022

Wakulima na wajasiriamali Mkoani Lindi wameiomba serikali kuwasaidia mikopo kwa mtu mmoja mmoja ili kupima uwezo wao katika uzalishaji kwani ugawaji wa fedha kupitia vikundi umekua na changamoto nyingi zinazosababisha wengi wao kushindwa kukua kiuchumi .

Hayo yamesemwa katika ufunguzi wa Maonyesho ya Nanenane kwa Kanda ya kusini yaliyofanyika katika viwanja vya Ngongo, Mkoa wa Lindi ambapo mgeni rasmi alikua ni mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Ndg. Dustan Kyobya, Mkuu wa wilaya ya Mtwara.

 “Serikali tunaiomba ingefikiria kutoka mikopo kwa mtu mmoja, kwenye vikundi wengi  tunarudishana nyuma kwasababu sio kila mtu anakua na elimu na utayari wa kufanya ujasiriamali hivyo pesa tunayopata yeye anakua anatumia kwenye mambo yake mengine mwisho anashindwa kurejesha  sehemu ya mkopo wake unakua mzigo wa kikundi kizima mulipe ili mpate mkopo mwingine’’ amesema Mjasiriamali kutoka wilaya ya Kilwa, Lindi.

Aidha, katika maadhimisho hayo, Mkuu wa wilaya ya Mtwara amewashauri  wakulima kufanya kilimo biashara kwa kuongeza thamani ya mazao wanayoyazalisha kwa njia kama za usindikaji ili kuweza kuendana na soko shindani na kuongeza kipato chao binafsi.

Vilevile, ndg. Kyobya amelitaka Jeshi la magereza kuongeza uzalishaji na ufugaji wa Ng’ombe kwa ajiri ya nyama na maziwa na kubainisha fursa mbalimbali zilizopo kutokana na ufugaji huo.

“Mikoa ya Lindi na Mtwara kuna uhaba wa wafugaji wa Ng’ombe na hivyo kupelekea uhaba wa mazao hayo ya ufugaji hivyo suala la unywaji wa maziwa na ulaji sahihi wa nyama kuwa chini, lakini pia ufugaji huu utatupatia fursa nyingine ya kibiashara kwa kupata soko katika visiwa vya Comoro.”

Maonyesho ya Nanenane  mwaka 2022 yanaenda  kwa kaulimbiu isemayo “Agenda 10/30: Kilimo ni biashara, shiriki kuhesabiwa kwa mipango bora ya kilimo, mifugo na uvuvi.”

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.