• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

UZINDUZI WA NYUMBA ZA WATUMISHI LINDI.

Posted on: December 2nd, 2021

Kuelekea kilele cha miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Mkuu wa mkoa wa Lindi Mh. Bi. Zainab Telack amezindua nyumba 3 za watumishi wa Sekretarieti ya Mkoa zilizogharimu kiasi cha shilingi milioni 255,002,585 ambapo vifaa vya ujenzi vimegharimu shilingi milioni 204,772,585 na shilingi milioni 50,230,000 zimetumika kwa gharama za ufundi.

Katika uzinduzi huo, Katibu Tawala Msaidizi, Utawala na Rasilimali watu, Dkt. Bora Haule amesema kuwa ujenzi wa nyumba hizo ulioanza Julai 4, 2021 kwa mkataba wa miezi mitatu na kukamilika kwa asilimia 100, una lengo la kujenga nyumba 13 za wakuu wa sehemu na vitengo, ambapo shilingi milioni 360 zimetengwa kwa ajili ya awamu ya pili ya ujenzi wa nyumba nne maeneo ya mitwero, Lindi Manispaa.

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Bi. Zainab Telack amewataka watumishi waliokabidhiwa nyumba hizo kuzitunza na kuhakikisha zinakua katika hali ya usafi muda wote ‘ ‘Nyumba hizi zitunzeni vizuri ili hata baada ya kumaliza majukumu  yenu wengine wakabidhiwe zikiwa nzuri na safi, uharibifu wowote ule kama kuchorwa kwenye kuta mutawajibika kurekebisha. Lkini pia nyumba zinazotarajiwa kuendelea  kujengwa zitakua nzuri zaidi ya hizi’’

Akitoa neno la shukrani, Katibu Tawala Msaidizi, Uchumi na Uzalishaji, Ndg.Majid A. Myao  amesema ‘‘ nyumba hizi zitatusaidia kutekeleza na kuwahi majukumu yetu hivyo tunashukuru kwa uthamani huu wa kupatiwa nyumba hizi, tutajitahidi kuzitunza vizuri na kuzikabidhi zikiwa katika hali nzuri. Aidha, niishukuru kamati iliyosimamia ujenzi wa nyumba hizi kwa uratibu mzuri wa mradi huu hadi hatua hii iliyofikiwa leo. ’’

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.