• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

WADAU WA KILIMO WAIOMBA SERIKALI KUTHAMINI MATUMIZI YA MBEGU ZA ASILI

Posted on: August 12th, 2022

Wadau wa masuala ya Kilimo hai wameomba serikali kutambua na kuthamini matumizi ya mbegu za asili hali itakayochochea ulaji wa vyakula vya asili visivyo na kemikali nchini.

Hiyo ni kutokana na Mbegu asili kuwa ndiyo msingi wa kilimo, huku uhakika na usalama wa mbegu hizo   kwa wakulima wadogo hapa nchini ambao ndiyo wazalishaji wakuu wa chakula ukitajwa kuwa ni muhimu katika kuhakikisha kuna  usalama wa chakula.

Wameomba hayo katika uzinduzi wa siku maalum ya mbegu za asili iliyofanyika tarehe 06 Agosti, 2022 wakati wa maadhimisho ya maonyesho ya nanenane kanda ya kusini yaliyohitimishwa tarehe 08 Agosti 2022  katika viwa nja vya Ngongo mkoani Lindi ambapo lengo kuu likiwa kuhamasisha wakulima na jamii kwa ujumla kutumia mbegu na vyakula vya asili.

Mtaalam kutoka SWISSAID Bwa. Daudi Ngosengwa na mdau wa SWISSAID Bwa. Abdallah Ramadhani wamesema kuwa kwa sasa wanahitaji watunga sera, kutunga sera ambazo zitawasaidia wakulima kuuza mbegu zao za asili kama ilivyo kwa mbegu zingine.

 

Wadau hao wameeleza kuwa, katika kuifikia ajenda ya 10/30 vyanzo vikuu viwili vya mbegu vinavyotegemewa na Wakulima katika kuendesha shughuli zao za kilimo ambavyo ni mfumo wa mbegu ulio rasmi wa kibiashara na mfumo usiokuwa rasmi ikisimamiwa na kuwezeshwa vizuri ina mchango mkubwa wa kufikia lengo la serikali la ajenda hiyo ambayo inataka ifikapo 2030 sekta ya kilimo ikue na kuchangia pato la taifa kwa 10%.

kwa upande wake mkurugenzi msaidizi wa idara ya mbegu kutoka wizara ya kilimo Beatus Malema ameeleza kwamba taifa halitakiwi kuziacha mbegu za asili zipotee kwani itakuwa ni hasara kwenye sekta ya kilimo kwa maana watafiti hawatakuwa na chanzo cha uhakika cha kupatia nasaba za mimea kwa ajili ya tafiti zao. Ameongeza kuwa mbegu za asili zinaongeza wigo mpana wa baoanuai na hatimaye uhakika wa upatikanaji wa viini lishe ambavyo ni muhimu katika kutokomeza matatizo ya utapia mlo.

kwa mujibu wa mkurugenzi wa SWISSAID Bi. Betty Malaki amesema kuwa siku ya maonyesho ya mbegu za asili huwakumbusha walaji baadhi ya vyakula ambavyo vilikuwa maarufu siku za nyuma lakini sasa havionekani kupendwa na walaji lakini pia vinajulisha mahusiano yaliyopo kati ya jamii na mila na desturi zao.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.