• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

WANANCHI LINDI WATAKIWA KUJITOKEZA KUHESABIWA AGOSTI 23.

Posted on: May 18th, 2022

Wananchi  wa Mkoa wa Lindi wametakiwa kujitokeza na kushiriki katika zoezi la Sensa ya Watu na Makazi inayotarajiwa kufanyika mwaka huu ifikapo tarehe 23, Agosti.

Wito huo umetolewa na Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Ndg. Kasper Mmuya wakati wa ziara yake yenye lengo la kufanya tathmini ya utekelezaji wa operesheni ya anuani za makazi  katika mkoa wa Lindi.

“Kuna dhana nyingi za tofauti kuhusiana na kuhesabiwa kwa watu lakini tujitahidi kuwaelewesha wananchi wetu kuhusu umuhimu wa Sensa kama tulivyofanya katika anuani  za makazi, kwamba zoezi hili ni kwa maendeleo yetu sisi wenyewe na kusaidia serikali katika utoaji wa huduma muhimu na za kijamii kwa wananchi kama ujenzi wa vituo za afya na elimu” Ndg. Mmuya.

Aidha, Naibu Katibu Mkuu ametoa pongezi kwa Mkoa kwa utekelezaji wa jumla wa operesheni ya anuani za makazi ambazo zimepelekea zoezi hilo kufanikiwa kimkoa  kwa 131% licha ya changamoto za kijiografia zilizopo.

“Bado kuna malalamiko kutoka kwa wananchi wa maeneo mbalimbali kwamba nyumba zao bado hazijatambulika, nitoe rai wafike kwanza katika ofisi za mtendaji wa kata katika maeneo yao ili kujihakikisha kama nyumba zao kweli hazijatambulika, lakini pia niwakumbushe wananchi wote kuwa jukumu la kutoa taarifa rasmi za makazi yao, uwekaji wa vibao vyenye namba ikiwemo na kutumia na kutunza miundombinu ya mfumo wa anuani za makazi ni wajibu wao”ameongeza.

Vilevile, Naibu Katibu Mkuu amewataka TARURA kuhakikisha wanatambua barabara zao pamoja na kuziwekea nguzo na alama za barabarani ambazo zitaeleweka kwa watumiaji wote wa barabara hizo.

                           

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.