• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

WANAWAKE LINDI WAASWA KUSOMESHA WATOTO WAO.

Posted on: March 8th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack amewataka wazazi wa Lindi kuhakikisha wanawasomesha watoto wao.

Mhe. Telack ameyasema hayo katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayofanyika kila mwaka ifikapo tarehe 8, Machi ambapo katika Mkoa wa Lindi maadhimisho hayo yamefanyika katika wilaya ya Nachingwea, ambapo Mhe. Telack amese,a kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hasssan ameboresha huduma za elimu kwa kiwango kikubwa hivyo wazazi wawajibike kusomesha watoto wao na kusisitiza kuwa akina mama wawe mstari wa mbele Zaidi kusimamia na kufuatilia maendeleo ya elimu ya watoto wao.

Aidha, Mkuu wa Mkoa amewakumbusha akina mama kufuatilia nyendo za watoto wao katika hiki ambacho dunia imebadilika na kuongeza kuwa ni jukumu na wajibu wa jamii nzima kumlinda mtoto bila kubagua ni mtoto wan ani.

Awali, akitoa salamu za wabunge wanawake wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Salma Kikwete Mbunge wa Jimbo la Mchinga amewaasa wanawake kuwapeleka watoto wao shule ikiwa ni njia mojawapo ya kujiandaa na ujio wa mradi mkubwa wa gesi asilia LNG ambao unaenda kutekelezwa katika Manispaa ya Lindi, Kijiji cha Likong’o.

Mhe. Salma amewaambia wanawake agenda ya elimu ni agenda muhimu kwa ustawi wa mwanamke na mwanadamu kiujumla, hivyo amewasisitiza kutumia vyema fursa ya elimu bure na miundombinu ya shule bora inayojengwa na serikali ya awamu ya sita kwa kuwapeleka shule watoto wao na kusimamia maendeleo yao ya kielimu.

Jenipher Valentino Sungu, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Nangano iliyopo wilaya ya Liwale amewasihi wanafunzi hasa wasichana kutumia vyema teknolojia zilizopo ikiwemo matumizi bora ya simu janja za mkononi na kompyuta kwa kukuza uelewa na kuboresha maarifa na kuepuka matumizi yanayoharibu maendeleo na tamaduni kwa ujumla.

Kila mwaka, ifikapo Machi 08, dunia huadhimisha Siku ya Mwanamke ambayo huwakutanisha wanawake kutoka maeneo tofauti kwa lengo la kubadilishana na kujengeana uwezo katika ushiriki wa maendeleo yao, jamii na taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.