• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

WANAWAKE LINDI WATAKIWA KUJIKITA KWENYE KILIMO.

Posted on: March 8th, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab R. Telack amewataka wanawake wote ndani ya mkoa wa Lindi kujikita zaidi katika shughuli za kilimo na kuongeza kipato katika familia zao na kujipatia uhakika wa uwepo wa chakula katika familia ili kupunguza magonjwa yatokanayo na lishe duni kwa watoto.

Mkuu wa Mkoa ameyasema hayo katika sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa katika wilaya ya Ruangwa ambapo pia amewataka wanawake kutambua kuwa ndio msingi mkubwa kwa ustawi na maendeleo ya familia.

“Mtoto akiumwa utapiamlo ni mama ndiye anaekwenda nae hospitali na sio baba, wewe mwanamke ndio utakaeacha shughuli zako ili ubaki na mtoto hadi atakapokua sawa na ndio maana nasisitiza tuingie sasa katika shughuli za kilimo kwa mazao ya chakula ili tuhakikishe vyakula havipotei majumbani mwetu na watoto wetu hawakai na njaa, hii itawasaidia hata katika kujifunza kwao wawapo mashuleni” Mhe. Telack.

Mbunge wa jimbo la Mchinga Mhe. Mama Salma Kikwete amewataka Wanawake kujivunia mafanikio waliyoyapata katika Nyanja mbalimbali hasa za uongozi ambapo amesema “Leo hii tupo hapa tunafurahia matokeo na mafanikio yetu tukiwa na raisi mwanamke Mhe. Samia Suluhu, tuna spika wa Bunge mwanamke Mhe. Tulia Ackson, na hapa Lindi tumeletewa Mkuu wa Mkoa mwanamke Mhe. Telack ambaye ni mchapakazi na jasiri, hakika hatuwezi kushindwa na kitu.

Aidha, katika maadhimisho hayo wanawake wametakiwa kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kuanzia katika ngazi za mitaa na kushirikiana ili kuwawezesha wanawake wenye sifa za kua viongozi wanashika nafasi hizo.

                                                          

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.