• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

WAZAZI WA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA KUWAPATIA WATOTO WAO ELIMU.

Posted on: September 21st, 2024

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt Seleman Jafo (Mb) amekagua ujenzi wa bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Shule ya Msingi Mpilipili iliyopo Manispaa ya Lindi, wilaya ya Lindi wakati wa ziara Maalumu ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye kauli mbiu 'Rais Samia na Maendeleo, Wasikie na Waone'.


Akizungumza na wananchi wa Kata ya Nachingwea baada ya kukagua ujenzi wa jengo la bweni hilo, Waziri Jafo amewataka wazazi wa watoto wenye mahitaji maalum kutumia fursa hiyo ili watoto wao wapate elimu kwa kuzingatia kwamba nao wana haki sawa kama watoto wengine ya kupata elimu.


" Mhe. Rais anajipambanua sana kuhakikisha watoto wote na wazazi wananufaika na upatikanaji wa huduma za elimu bure kuanzia ngazi za awali hadi sekondari bila ubaguzi hivyo niwaombe wazazi ambao wana watoto wenye mahitaji maalumu wasiwafiche watoto wao, waone fursa hii na wawalete watoto wao shuleni ili wapate elimu" Mhe. Jafo.


Aidha, Mhe.Jafo ameeleza kuwa ni dhamira ya serikali ya awamu ya sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan kuhakikisha kuwa watanzania wote na wanaLindi kwa ujumla wananufaika na miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo uboreshaji wa huduma za afya ambapo kwa Mkoa wa Lindi pekee hospitali mpya nne za wilaya zimejengwa, ukarabati wa hospitali ya Kinyonga iliyopo Kilwa Kivinje iliyogharimu kiasi cha Tsh. Milioni 900, ujenzi wa vituo vya afya katika maeneo mbalimbali, zahanati pamoja na magari ya kubebea wagonjwa (ambulance) 13 ambapo wakazi wa manispaa ya Lindi wamenufaika kwa kupatiwa magari hayo mawili.


"Viongozi wa chama na serikali pamoja na wananchi Mhe. Rais anafanya uwekezaji wa fedha kwenye miradi ya sekta mbalimbali ikiwemo Afya, Elimu, Kilimo, Uvuvi na Miundombinu sasa ni wajibu wenu kuendelea kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo na matumizi ya fedha zilizoletwa na serikali ili iweze kukamilika kwa wakati uliopangwa, kikamilifu na kuleta matokeo yenye tija kwa mustakabali wa kunufaisha na kuboresha maisha ya wananchi" Mhe. Jafo.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.