• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

WAZIRI JAFO ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA

Posted on: September 20th, 2024

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Seleman Jafo, ameonesha kuridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Ruangwa, amesema kuwa juhudi zinazofanywa wilayani humo zimepita matarajio, akiwa katika ziara ya kikazi leo, Septemba 20, 2024, Waziri Jafo amekagua miradi kadhaa na kusisitiza umuhimu wa kuhakikisha kuwa miradi yote inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaohitajika.


Miongoni mwa miradi aliyoikagua ni ujenzi wa barabara ya Mipingoni, ambayo itaimarisha upatikanaji wa huduma na kuchochea maendeleo ya uchumi kwa wananchi. Pia, ametembelea ghala la kuhifadhia mazao la Lipande, ambalo limejengwa kwa lengo la kusaidia wakulima katika kuhifadhi mazao yao kwa muda mrefu na kwa ubora.


Aidha, Mhe. Jafo ametembelea Shule ya Msingi Likangara, ambayo imejengwa kwa thamani ya Shilingi Milioni 500 za Kitanzania, shule hiyo ya ghorofa ina madarasa nane, ofisi nne za walimu, na matundu 24 ya vyoo, ikiwa ni hatua kubwa katika kuboresha mazingira ya elimu katika wanafunzi, Mradi huo unalenga kuongeza uwezo wa shule kupokea wanafunzi wengi zaidi na kutoa elimu bora.


Waziri Jafo pia ametembelea Chuo cha Ufundi (VETA) Nandagala, ambacho kinatarajiwa kuwa kitovu cha kuwapa vijana wa Ruangwa ujuzi wa kitaalamu ili waweze kushiriki kikamilifu katika uchumi wa viwanda. Lakini pia ametembelea mradi wa maji wa Chimbila “A” ambao unatarajiwa kunufaisha vijiji 34 na kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi.


Ikumbukwe, kwamba katika miaka ya hivi karibuni, jitihada za Serikali zimeleta matokeo chanya makubwa, na Wilaya ya Ruangwa sasa inashuhudia mafanikio makubwa kimaendeleo, Serikali imeendelea kuimarisha usimamizi wa miradi na kuboresha miundombinu kwa ufanisi, huku ikihakikisha kuwa sekta muhimu kama elimu na maji zinapata uwekezaji wa kutosha kwa maendeleo endelevu ya wananchi.


Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.