• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Wizara ya Maliasili na Utalii kupambana na Uvunaji Haramu wa Misitu

Posted on: August 7th, 2019

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KUPAMBANA NA UVUNAJI HARAMU WA MISITU.

Naibu waziri wa maliasili na utalii Mhe. Constantine Kanyasu amesema wizara yake imejipanga kupambana na uvunaji haramu wa misitu, hali inayosababisha jangwa na ukosefu wa maji nchini.

Hayo aliyasema wakati akijibu maswali aliyoulizwa katika banda la JKT wakati wa maonesho ya nanenane Kanda ya Kusini yaliyofanyika katika viwanja vya Ngongo – Manispaa ya Lindi.

Katika majibu yake naibu waziri amesema wizara inajitahidi kuzuia ukataji miti unaofanywa na wamiliki wa ardhi za vijiji na kuwakumbusha kuwa wanapaswa kushirikisha wizara husika pale wanapotaka kukata miti katika maeneo yao ya ardhi.

“Kwa maeneo yaliyopo chini ya uongozi wa kijiji, wamiliki wa mashamba ni lazima washirikishe wizara ya maliasili na utalii wanapotaka kukata miti ambapo wanahitajika kuandaa mpango wa upandaji miti katika eneo jingine pamoja na matumizi ya miti wanayoikata kwa sababu wengi wamekuwa wakikata miti na kuichoma wakati ingefaa kwa matumizi ya nishati katika kijiji kizima”, alisema Mhe. Kanyasu.

Waziri Kanyasu ameongeza kuwa wananchi wanapaswa kuelewa kuwa mashamba ni ya kwao lakini miti iliyopo ndani ya mashamba hayo ni ya serikali hivyo basi wanapaswa kutoa taarifa pale wanapohitaji kuikata. Aidha, ametoa rai kwa wakulima kuacha kilimo cha kuhamahama badala yake maafisa kilimo wawape elimu ya kilimo ili kutunza mazingira.

Wizara itasimamia wakulima hasa wa ufuta ambao huacha kutumia mashamba yao ya zamani na kuhamia katika maeneo mapya kuanza kufyeka misitu, na kuwapa elimu ya utaalamu wa magugu ili waweze kufanya shughuli zao bila kuhama katika maeneo yao.

Maonyesho ya wakulima nanenane mkoani Lindi yamekwenda sambamba na utoaji wa elimu mbalimbali kuhusu upandaji miti, utunzaji wa misitu na wanyamapori zilizotolewa na taasisi mbalimbali zilizo chini ya wizara ya maliasili na utalii kama TFS,TAWA na mamlaka ya uhifadhi wa msitu wa asili Rondo.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.