• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Zambi atembelea ujenzi wa madarasa Lindi Sekondari

Posted on: November 8th, 2017

Zambi atembelea ujenzi wa madarasa Lindi Sekondari.

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi ametembelea shule ya sekondari ya Lindi kuona kazi ya ujenzi wa madarasa yaliyoungua kwa moto usiku wa kuamkia tarehe 10/07/2016.

Jengo la madarasa linalojengwa ni la gorofa tatu na linajengwa na SUMA JKT. Jengo hili litagharibu karibu bilioni mbili ambapo katika harambee iliyofanywa ikiongozwa na Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) fedha na vifaa zilizopatikana zilikuwa zaidi ya milioni 500.

Mhe. Zambi ameridhishwa na kazi inayoendelea kufanyika ambapo amemkuta mkandarasi akiwa anaendelea na ujenzi wa msingi. Pia alipata maelezo ya namna kazi ya ujenzi wa msingi wa ghorofa itakavyoendelea kufanyika.

“Ujenzi huu ulichelewa kuanza kutokana na kukamilishwa kwa taratibu zikiwemo za kumpata mkandarasi na upimaji wa udongo. Lakini nashukuru sasa kazi imeanza na inakwenda vizuri”, alisema Mhe. Zambi. Aidha, amewaomba wadau na wananchi wote kwa ujumla kuendelea kuchangia fedha na vifaa ambavyo vitasaidia katika ujenzi wa jengo hilo. Vilevile amewaomba wale ambao walikuwa bado hawajakamilisha ahadi walizokuwa wametoa kukamilisha.

Naye Mkuu wa Shule ya Lindi Sekondari, Ndg. Tarimo alisema kuwa kazi ya ujenzi inakwenda vizuri japo zipo changamoto ndogo ambazo huwa zinafanyiwa kazi na viongozi. Pia ameeleza kuwa wanafunzi wanaendelea vizuri na masomo kwani vipo baadhi ya vyumba ambavyo wamelibadilisha matumizi kwa muda wakati wakisubiri jengo kukamilika. Vilevile amewaomba wananchi kuendelea kuchangia kwani kazi ya ujenzi bado ni kubwa.

Zambi pia aliwatembelea wanafunzi wa kidato cha pili ambao wanajiandaa kufanya mitihani ya kidato cha pili na kuwasihi wafanye maandalizi mazuri. “Wazazi wenu wamewaleta hapa shuleni kusoma hivyo mnatakiwa msome kwani elimu mtakayoipata hapa ni kwa faida yenu na si ya wazazi wenu” alisema Zambi.

Aidha, aliwataka wanafunzi kuwaheshima wazazi/walezi, walimu na jamii kwa ujumla. Vilevile aliwatakia masomo na mtihani mwema wa taifa wa kidato cha pili ambao utaanza kufayika tarehe 13 Novemba, 2017.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.