• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Matukio katika Picha wakati wa Jukwaa la Fursa za Kibiashara na Uwekezaji - Lindi

  • Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi kabla ya kufungua Jukwaa la tisa la Fursa za Biashara na Uwekezaji mkoani humo jana. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe akipiga makofi sambamba na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi kabla ya kufungua Jukwaa la tisa la Fursa za Biashara na Uwekezaji mkoani humo jana.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe akizungumza na washiriki wa Jukwaa la Fursa za Biashara na Uwekezaji mkoani Lindi linaloandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa kushirikiana na Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN).

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe (katikati) akitazama bidhaa za mikono za wajasiriamali wa mkoa wa Lindi wakati akitembelea mabanda ya maonyesho katika Jukwaa la Fursa za Kibiashara na Uwekezaji mkoani Lindi. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi na Mbunge wa Lindi Mjini, Hassan Kaunje.

    Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) Hab Mkwizu akizungumza na washiriki wa Jukwaa la Fursa za Kibiashara na Uwekezaji mkoani Lindi linaloandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa kushirikiana na TSN.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akikagua ubanguaji wa korosho kutoka kwa wajasiriamali wa bidhaa hiyo alipokuwa akikagua mabanda ya Maonyesho katika Jukwaa la Fursa za Kibiashara na Uwekezaji mkoani Lindi. Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi.

    Wakuu wa Wilaya za mkoa wa Lindi (kutoka kushoto) Mkuu wa wilaya ya Kilwa, Christopher Ngubiagai, Mkuu wa wilaya ya Ruangwa, Hashim Mgandilwa na Mkuu wa wilaya ya Liwale, Sarah Chiwamba wakiungana na washiriki wengine wa Jukwaa la Fursa za Kibiashara na Uwekezaji mkoani Lindi.

    Wananchi wakitembelea mabanda ya Maonyesho ya Jukwaa la Fursa za Uwekezaji mkoani Lindi jana.

    Kaimu Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Tuma Abdallah akizungumza na washiriki wa Jukwaa la Fursa za Kibiashara na Uwekezaji mkoani Lindi.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi (kulia) kutembelea mabanda ya Maonyesho ya Jukwaa la Fursa za Kibiashara na Uwekezaji mkoani Lindi.

    Mwekezaji rais wa Marekani, Dkt. Marie Asher Baptiste (kulia) akizungumza na washiriki wa Jukwaa la Fursa za Kibiashara na Uwekezaji mkoani Lindi. Kushoto kwake ni mkalimani, Veronica Swai.

    Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Lindi, Hamida Abdallah wakati wa Jukwaa la Fursa za Uwekezaji mkoani Lindi.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akimsikiliza ofisa wa madini mkoa wa Lindi akielezea kuhusu madini mbalimbali yanayochimbwa mkoani humo wakati wa Jukwaa la Fursa za Kibiashara na Uwekezaji mkoani Lindi.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa (kulia kwake) kukagua bidhaa mbalimbali za mikono zinazozalishwa na wajasiriamali, katika Jukwaa la Fursa za Uwekezaji mkoani Lindi.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na Mratibu wa Matoleo Maalum wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) Dativa Minja, wakati alipotembelea banda la kampuni hiyo kwenye Jukwaa la Fursa za Kibiashara na Uwekezaji, mkoani Lindi. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akitembelea mabanda ya maonyesho ya Jukwaa la Fursa za Biashara na Uwekezaji mkoani Lindi.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe akizungumza na mmoja wa wakulima wadogo wa mboga na matunda katika mkoa wa Lindi wakati akikagua mabanda ya Maonyesho katika Jukwaa la Fursa za Biashara na Uwekezaji mkoani Lindi.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa (kulia kwake) kukagua bidhaa mbalimbali za mikono zinazozalishwa na wajasiriamali, katika Jukwaa la Fursa za Uwekezaji mkoani Lindi.

    Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa akizungumza na washiriki wa Jukwaa la Fursa za Biashara na Uwekezaji lililofanyika Lindi.

    Wadhamini mbalimbali wa Jukwaa la Fursa za Biashara na Uwekezaji wakiimba wimbo wa kuitukuza Tanzania wakati wa ufunguzi wa Jukwaa la Fursa za Biashara na Uwekezaji mkoani Lindi.

    Afisa Uhusiano TANESCO Mkoa wa Lindi, Ndg. Francis Mbelwa akielezea huduma mbalimbali wanazotoa kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe alipotembelea Banda la TANESCO wakati wa Jukwaa la Fursa za Kibiashara na Uwekezaji mkoa wa Lindi.

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekaji Tanzania (TIC) Geoffrey Mwambe akizungumza na washiriki wa Jukwaa la Fursa za Biashara na Uwekezaji mkoani Lindi.

    Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama mkoani Lindi wakifuatilia kwa makini mijadala mbalimbali wakati wa Jukwaa la Fursa za Biashara na Uwekezaji mkoani humo.

    Washiriki wa Jukwaa la Biashara na Uwekezaji mkoani Lindi wakifuatilia kwa makini mijadala mbalimbali iliyokuwa ikiwasilishwa kwenye jukwaa hilo.

    Washiriki wa Jukwaa la Biashara na Uwekezaji mkoani Lindi wakifuatilia kwa makini mijadala mbalimbali iliyokuwa ikiwasilishwa kwenye jukwaa hilo .

    Washiriki wa Jukwaa la Biashara na Uwekezaji mkoani Lindi wakifuatilia kwa makini mijadala mbalimbali iliyokuwa ikiwasilishwa kwenye jukwaa hilo .

    Washiriki wa Jukwaa la Biashara na Uwekezaji mkoani Lindi wakifuatilia kwa makini mijadala mbalimbali iliyokuwa ikiwasilishwa kwenye jukwaa hilo.

    Washiriki wa Jukwaa la Biashara na Uwekezaji mkoani Lindi wakifuatilia kwa makini mijadala mbalimbali iliyokuwa ikiwasilishwa kwenye jukwaa hilo.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (wa tatu kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi (kulia kwake), Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Hab Mkwizu, Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu na viongozi wengine mbalimbali wa Serikali wakiimba wimbo maalum wakati wa ufunguzi wa Jukwaa la Fursa za Biashara na Uwekezaji mkoani Lindi.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • VIJIJI VYOTE 523 LINDI VYAPATA UMEME

    May 06, 2025
  • UJENZI WA UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 45%, RC TELACK APONGEZA NA KUSISITIZA KASI NA UBORA WA UJENZI

    May 05, 2025
  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.