Posted on: January 27th, 2023
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi wamefanya kikao na wadau leo tarehe 27 Januari, 2023 chenye lengo la kujadili maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya ...
Posted on: January 23rd, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack ametoa agizo la kufanya msako mkali kwa wazazi na walezi wote ambao wameshindwa kuwapeleka watoto wao ambao wamechaguliwa kujiunga kuanza masomo yao ya k...
Posted on: January 23rd, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainab Telack ameiagiza wakala wa barabara za vijijini na mijini (TARURA) wilaya ya Kilwa kumsimamia mkandarasi wa kampuni ya MS ERIT INVESTMENT GROUP LIMITED anayetekeleza...