Posted on: November 8th, 2017
Zambi atembelea ujenzi wa madarasa Lindi Sekondari.
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi ametembelea shule ya sekondari ya Lindi kuona kazi ya ujenzi wa madarasa yaliyoungua kwa moto usiku wa ...
Posted on: November 3rd, 2017
Kaswa afungua mafunzo ya kutengeneza Mpango wa motisha kwa ajili ya kuwavutia na kuwabakiza watumishi katika vituo vyao vya kazi.
Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Ndg. Ramadhani Kaswa amefungua warsha ...
Posted on: November 2nd, 2017
Viongozi Tume ya Utumishi wa Umma wazungumza na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma Mkoani Lindi.
Viongozi wa Tume ya Utumishi wa Umma wamefanya ziara Mkoani Lindi kwa lengo la kukutana na Watendaji...