Posted on: September 23rd, 2021
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetenga Jumla ya bilioni 1 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya mifugo mkoani Lindi.
Hayo yemesemwa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. ...
Posted on: September 18th, 2021
Wakulima wa zao la ufuta mkoa wa Lindi wamefanikiwa kujipatia fedha jumla ya Tsh. 111,838,595,926/= baada ya kufanya mauzo ya jumla ya kilo 49,885,228 za ufuta kwa msimu wa mwaka 2021. Hayo yamesemwa ...
Posted on: September 14th, 2021
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amesema hayo siku ya Jumatatu ya terehe 13 Septemba 2021 alipotembelea na kuzungumza na jamii za wakulima na wafugaji kwenye mikutano miwili i...