Mhandisi. Joseph Nyamhanga, Katibu Mkuu, OR - TAMISEMI amefanya ziara ya kikazi mkoani Lindi ambapo alianza kwa kukagua ujenzi wa hospitali ya wilaya inayojengwa katika kijiji cha Kiwalala H/W ya Lindi.
Mhandisi Nyamhanga akagua ujenzi wa barabara ya Kwamkocho Kivinje wilayani Kilwa
Wakurugenzi wa halmashauri za mkoa wa Lindi watakiwa kuhakikisha Wakaguzi wa Ndani na Kamati za Ukaguzi zinafanya kazi. Hayo yamesemwa na Katibu Tawala Mkoa pamoja na Mkuu wa Mkoa wakati wa kikao cha baraza maalum la madiwani la kujadili hoja za ukaguzi wilayani Ruangwa.
Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.