Shirika la SIGHTSAVER’S limetoa vifaa kwa ajili ya vituo vilivyotengwa kupokea wagonjwa wa CORONA endapo watajitokeza. Vifaa hivyo vimepokelewa na Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Bi. Rehema Madenge.
Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.