Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Bi. Rehema Madenge ametembelea eneo la Tendaguru ambalo alitokea mjusi mkubwa anayejulikana kwa jina la Dinasoria ambaye baada ya mabaki yake yaliyouchimbuliwa yalipelekwa katika makumbusho nchini Ujerumani. Bi. Madenge amesema malengo ya mkoa ni kulifanya eneo hilo kuwa moja ya eneo la vivutio vya utalii ambapo amewahamasisha wawekezaji kuwekeza katika eneo hilo.
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi amekutana na viongozi wa taasisi za benki katika mkoa wa Lindi ili kuwapa mwongozo wa malipo ya korosho msimu 2019/2020
Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.