Bi. Rehema Madenge, Katibu Tawala Mkoa wa Lindi awataka viongozi viongozi wa wilaya ya Ruangwa pamoja na wilaya nyingine za mkoa wa Lindi kuhamasisha jamii kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF). Hayo ameyasema wakati wa kikao cha baraza maalum la madiwani la kujadili hoja za ukaguzi.
Mhe. Zambi aitaka Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa kuhakikisha inalipa deni la fedha za mikopo ya vijana, wanawake na walemavu inayotokana na asilimia 10 ya mapato ya ndani. Hii ni baada ya mkaguzi wa nje mkoa wa lindi kuwasilisha madeni ya fedha hizo za mikopo.
Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.